Hahahaa, tatizo ni kwamba hapa bongo interview zinafanywa kwa kienglish ila maofisini watu wanapiga kimatumbi kama kawa. Kwa hiyo English ni ya kuingilia tu, mbony shafo clemee.
Wewe unadhani utapata ajira gani kwa kujua lugha za makabila yote hayo? Labda kama ungekuwa unajua lugha 20 duniani hapo ungeweza kupata kazi kirahisi kabisa tena kwa kugombaniwa