Nilikuwa naenda chuga one time, safari ilikuwa inaanza saa 7 usiku. Kukuru kakara tukafika somewhere maeneo ya mwenge, tumejazana kama vigunia fulani hivi vya wakimbizi. Baada ya gari kusimama kupakia magazeti mengine, tuli drop kimachale na kwenda baa za maeneo ya ubungo kusubiri kukuche tuendelee na safari kwa mabasi!
It was may, this year! Can't forget!