Mambo yamekuwa si ya kutabirika, yaani unapanga budget lakini mambo yanatokea tofauti kabisa, sasa naona nikipokea hela nifanye kitakachokuja kichwani baada ya hapo basi niendelee na utaratibu mwingine.
Lakini maisha ninprinciple mkuu,pale unapoona hakuna umuhim wa kupanga budget ndipo matatizo yanapoanzia.Mipango ni muhim sana ila utkelezaji wake ndoo mgum kwa kuwa hakuna nidhamu.