Sioni mwanamke wa kuoa

Sioni mwanamke wa kuoa

Hili nalo swali ,unakuta huyo mtu anayelalama hapa ni kituko cha karne ila yeye anataka kudate jidada high expensive

Sent using Jamii Forums mobile app
Me namsaidia kujibu, wasio mvutia ni wale washamba kabisa, sasa yeye born town nin, anataka wa born town mwenzie yeyote.

Shida ndo hiyo nyodo zimezidi kisa, vinafatwa sawa basi vinaona vimepatia maisha.
 
tatizo unatafta type ambazo ni over size kwako, hebu jaribu kutafta wakufanana nae mpunga si tatizo sana ukimpata wa type yako
 
Kijana! Huna hela! Tafuta hela! Ukiwa na hela wanakuja wenyewe bila kutumia nguvu! Penye uzia tia rupia! Kalaghabao wewe!
 
Me namsaidia kujibu, wasio mvutia ni wale washamba kabisa, sasa yeye born town nin, anataka wa born town mwenzie yeyote.

Shida ndo hiyo nyodo zimezidi kisa, vinafatwa sawa basi vinaona vimepatia maisha.
Atupie picha tumthaminishe
Atupie picha na za hao madada wanaomkataa pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaa hili swali gumu, kuna wadada wanavutiwa na mm, ila mm sivutiwi nao

Kwahiyo ukiniuliza kama mm navutia au la, i think inategemea na macho ya mdada husika, wengine wananiona nina sura mbaya wengine wananiona mm handsome Joline
Ebu nitumie picha na mm nione niko kundi lipi wanaona mbaya au handsome

Lakn vp wengi wanasemaje?
 
Hahaa hili swali gumu, kuna wadada wanavutiwa na mm, ila mm sivutiwi nao

Kwahiyo ukiniuliza kama mm navutia au la, i think inategemea na macho ya mdada husika, wengine wananiona nina sura mbaya wengine wananiona mm handsome Joline
Hao wanaojibu SMS kwa pozi...ndo wanakuona mbaya SANA. Alafu utakua mbaya Sasa. Unafikiria wanawake hawana macho ya Kuona mahansome Kama wewe unavyoo a wazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Siku zote tunakutana na wanaofanana na sokwe?

Labda kwanza tafuta vijisent kdg na wewe uvutie maana hatuwezi jua sisi ni wasoma comments tu
Hakuna mwanamke anaefanana na sokwe..Sema wewe una standard zako za mwanamke unaemtaka. NA HUTOMPATA.utaangaika sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo dushee yenyewe iwe ya kueleweka bhasi na ajue matumizi nayo we unakuta kitu kiduchu kimepinda kama kona za kitonga ,,,atupishage sio hata sisi tunavigezo vyetu
Wanawake pia wanapenda wanaume wazuri... Yoyote mwenye macho anapenda vinavyovutia...Unafikiri kuwa na mboo tu inatosha kumvutia mwanamke?.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa siko vizuri kiuchumi, ila nadhani hata nikipata tsh billion 100 sahiv, bado sitaona mke wa kuoa, hizi ndo changamoto ninazokutana Nazo

1) Namtongoza mdada, baada ya cku mbili nagundua huyu mdada yuko kimaslahi (anaomba sana hela), na hanipendi

2) Nikiangalia kule, mdada anafaa kuoa, ila hanivutii kabisaaa

3) Nikiangalia huku mdada ananivutia ila hana time na mm, anakupa namba ila ghetto haji, na SMS anajibu Kwa mapozi..

Sitafuti mdada perfect kwasabab hata mm siko perfect ila duuh, wanaume tuna kazi, kupata mchumba sahihi wa kuoa siku hizi ni vigumu sana.
Ngoja tuone
 
Ingawa siko vizuri kiuchumi, ila nadhani hata nikipata tsh billion 100 sahiv, bado sitaona mke wa kuoa, hizi ndo changamoto ninazokutana Nazo

1) Namtongoza mdada, baada ya cku mbili nagundua huyu mdada yuko kimaslahi (anaomba sana hela), na hanipendi

2) Nikiangalia kule, mdada anafaa kuoa, ila hanivutii kabisaaa

3) Nikiangalia huku mdada ananivutia ila hana time na mm, anakupa namba ila ghetto haji, na SMS anajibu Kwa mapozi..

Sitafuti mdada perfect kwasabab hata mm siko perfect ila duuh, wanaume tuna kazi, kupata mchumba sahihi wa kuoa siku hizi ni vigumu sana.
Kautafute ule wimbo ya Msondo Ngoma uusikilize kwa kurudia rudia
 
Back
Top Bottom