Ingawa siko vizuri kiuchumi, ila nadhani hata nikipata tsh billion 100 sahiv, bado sitaona mke wa kuoa, hizi ndo changamoto ninazokutana Nazo
1) Namtongoza mdada, baada ya cku mbili nagundua huyu mdada yuko kimaslahi (anaomba sana hela), na hanipendi
2) Nikiangalia kule, mdada anafaa kuoa, ila hanivutii kabisaaa
3) Nikiangalia huku mdada ananivutia ila hana time na mm, anakupa namba ila ghetto haji, na SMS anajibu Kwa mapozi..
Sitafuti mdada perfect kwasabab hata mm siko perfect ila duuh, wanaume tuna kazi, kupata mchumba sahihi wa kuoa siku hizi ni vigumu sana.
1) Namtongoza mdada, baada ya cku mbili nagundua huyu mdada yuko kimaslahi (anaomba sana hela), na hanipendi
2) Nikiangalia kule, mdada anafaa kuoa, ila hanivutii kabisaaa
3) Nikiangalia huku mdada ananivutia ila hana time na mm, anakupa namba ila ghetto haji, na SMS anajibu Kwa mapozi..
Sitafuti mdada perfect kwasabab hata mm siko perfect ila duuh, wanaume tuna kazi, kupata mchumba sahihi wa kuoa siku hizi ni vigumu sana.
