allpurpose2010
Member
- Sep 13, 2010
- 8
- 0
kwa muda wa week mbili sasa magazeti yamegubikwa na utata wa report za synovate and redet juu ya nani yuko juu katika uchaguzi 2010.
Ukweli ni kwamba wengine hatukujua wala kupata nafasi ya kushiriki kwani ninaimani hii kitu ilifanyika kimya kimya - bora mara mia nimeshiriki kwenye FJ, japo wasiofika kwenye FJ hawawezi shiriki.
Sasa nadhani njia iliyobakia kujaribiwa na kutolewa report yake ni njia ya mobile phone. kwani kunawatanzania zaidi ya 16 millioni wanaomiliki mobile phone.
Mitandao anzisheni huduma hii ya "election polling trend" hii haidanganyi kama njia zingine pia i wazi kwa walio wengi. ITV mna kipima joto, kwa nini msianzishe huduma ya polling trend 2010???
hii itatusaidia angalau - kwani zingine zote zinaonekana uzushi tu.
Ukweli ni kwamba wengine hatukujua wala kupata nafasi ya kushiriki kwani ninaimani hii kitu ilifanyika kimya kimya - bora mara mia nimeshiriki kwenye FJ, japo wasiofika kwenye FJ hawawezi shiriki.
Sasa nadhani njia iliyobakia kujaribiwa na kutolewa report yake ni njia ya mobile phone. kwani kunawatanzania zaidi ya 16 millioni wanaomiliki mobile phone.
Mitandao anzisheni huduma hii ya "election polling trend" hii haidanganyi kama njia zingine pia i wazi kwa walio wengi. ITV mna kipima joto, kwa nini msianzishe huduma ya polling trend 2010???
hii itatusaidia angalau - kwani zingine zote zinaonekana uzushi tu.