GE2025 Sio Mpina tu, wengi walioshindwa wataenda ACT

GE2025 Sio Mpina tu, wengi walioshindwa wataenda ACT

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Strategically ukihamia ACT unakuwa umewapa point za bure CCM, maana kuna majimbo watayaachia makusudi kuonyesha dunia upinzani una nguvu na pia kuinyong'onyeza CDM.. vipo viti watapewa ACT na vipo viti watapewa Chauma.

ndani ya mitaa ya Kabul,Afghanistan.
 
basi watakuja chadema mkuu
Ni bora kwenda huko CDM wakusanye nguvu kwa pamoja kuliko kukimbilia vyama visivyoeleweka vilivyojaa mamluki wa CCM ambao kila anachokifanya watakuwa wanazipeleka taarifa zake namna ya kumkwamisha. ACT wamempokea kwa kuwa hata kama atashindwa kama atakuwa amepata kiwango fulani cha kura za urais basi wenyewe watanufaika na Ruzuku lakini yeye hapati faida yoyote wala mwananchi aliyekuwa anamtegemea kusemewa
 
Ni bora kwenda huko CDM wakusanye nguvu kwa pamoja kuliko kukimbilia vyama visivyoeleweka vilivyojaa mamluki wa CCM ambao kila anachokifanya watakuwa wanazipeleka taarifa zake namna ya kumkwamisha. ACT wamempokea kwa kuwa hata kama atashindwa kama atakuwa amepata kiwango fulani cha kura za urais basi wenyewe watanufaika na Ruzuku lakini yeye hapati faida yoyote wala mwananchi aliyekuwa anamtegemea kusemewa
Ww sema tuu imekuuma yeye kwenda act 😂
 
Back
Top Bottom