PM ni maisha baada ya hapa, hayo uwa yanafanyika mtaa private, kwa mjumbe anayeitwa mesege, humo kuna mambo yanaendelea zaidi na yana faida na hasara. ila mara nyingi mambo ya huko yanamalizwa hukohuko, ukayaleta huu mtaa wa uwazi inakula kwako. ngoja na mimi nianze kuwa pm watu kila siku 10 halafu nione.