Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Oct 13, 2012 #2 Ukiapply bodmas hapo unabaki na 6-:-2 kitu ambacho kimahesabu hakipo(MATH Error)
Jaguar JF-Expert Member Mar 6, 2011 3,438 1,026 Oct 13, 2012 Thread starter #3 Eliah G Kamwela said: Ukiapply bodmas hapo unabaki na 6-:-2 kitu ambacho kimahesabu hakipo(MATH Error) Click to expand... Thanks wa-kwetu,-:- nimeitumia kama alama ya kugawanya japokuwa haiko kama nilivyoiandika!
Eliah G Kamwela said: Ukiapply bodmas hapo unabaki na 6-:-2 kitu ambacho kimahesabu hakipo(MATH Error) Click to expand... Thanks wa-kwetu,-:- nimeitumia kama alama ya kugawanya japokuwa haiko kama nilivyoiandika!
Pancras Suday JF-Expert Member Jun 24, 2011 8,143 3,830 Oct 14, 2012 #4 Sio kama nakudharau, nimeshindwa
Mkubwa Jalala Senior Member Mar 21, 2012 112 23 Oct 14, 2012 #5 Jaguar said: 6/2(2+1)=? Click to expand... Mimi mwalimu wangu wa hesabu alihama nikafundishwa na mwalimu wa kiswahili ila nahisi jibulake ni tisa ( 9 ).
Jaguar said: 6/2(2+1)=? Click to expand... Mimi mwalimu wangu wa hesabu alihama nikafundishwa na mwalimu wa kiswahili ila nahisi jibulake ni tisa ( 9 ).
D dy/dx JF-Expert Member Jul 26, 2011 613 108 Oct 15, 2012 #9 jibu ni 1 kweli BODMAS inasema bracket open kwanza so unafungua kwanza mabano 2+1=3 and 6/2*3 then division 6/2=3 and 3/3=1.....
jibu ni 1 kweli BODMAS inasema bracket open kwanza so unafungua kwanza mabano 2+1=3 and 6/2*3 then division 6/2=3 and 3/3=1.....
Mlaleo JF-Expert Member Oct 11, 2011 13,388 9,758 Oct 15, 2012 #11 Nimeingiaje humu dah! wacha nijicheke tu...
EXTERMINATOR JF-Expert Member Sep 8, 2011 343 90 Oct 17, 2012 #15 kwani ni nini hiyo? no. ya simu ya usama nini?
olele JF-Expert Member Dec 2, 2010 1,303 1,559 Oct 17, 2012 #16 Yale yale ya y+x=z fnd y, sasa y c hyo hapo uitafte wakati inaonekana wazi
S Swat JF-Expert Member Oct 13, 2012 4,199 1,975 Oct 17, 2012 #17 As per Bodmas rule the answer is 9.
Jaguar JF-Expert Member Mar 6, 2011 3,438 1,026 Oct 17, 2012 Thread starter #19 Nilikuwa naona aibu kuweka hiki kijiswali chekechea but as usual watu wanapiga sarakasi hapo juu mpaka bhaas!
Nilikuwa naona aibu kuweka hiki kijiswali chekechea but as usual watu wanapiga sarakasi hapo juu mpaka bhaas!
S Sheshejr JF-Expert Member Jan 14, 2012 434 82 Oct 17, 2012 #20 dy/dx said: jibu ni 1 kweli BODMAS inasema bracket open kwanza so unafungua kwanza mabano 2+1=3 and 6/2*3 then division 6/2=3 and 3/3=1..... Click to expand... dah, ungebadilisha hiyo id hapo ningekuelewa sana!, kifupi umeidhalilisha!
dy/dx said: jibu ni 1 kweli BODMAS inasema bracket open kwanza so unafungua kwanza mabano 2+1=3 and 6/2*3 then division 6/2=3 and 3/3=1..... Click to expand... dah, ungebadilisha hiyo id hapo ningekuelewa sana!, kifupi umeidhalilisha!