Sehemu pekee mwafrika anapoatq ahueni ni kwenye ngono, mengine kwa kweli % kubwa tunapambana na hali zetu.
Watu wanawekana bwana, hakuna utani hata kidogo, wenye gundu tu ndio tumebaki ila wengi wanakulanaaa...hata haya maradhi sijui gono sugu, HIV haviwezi kutuacha salama.