Sio kila Mwanamke anafaa kulala nae

Sio kila Mwanamke anafaa kulala nae

Sehemu pekee mwafrika anapoatq ahueni ni kwenye ngono, mengine kwa kweli % kubwa tunapambana na hali zetu.

Watu wanawekana bwana, hakuna utani hata kidogo, wenye gundu tu ndio tumebaki ila wengi wanakulanaaa...hata haya maradhi sijui gono sugu, HIV haviwezi kutuacha salama.


Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Fikra zinazamisha vijana. ..umekosa hela unaanza tafakari njia ulizopita. .huwazi kua hio haikua riziki yako iliupambane upate nyingine kwa njia nyingine...ndio mana radio zote tz zinashawishi betting mpk radio ya Taifa kwakua ndio mawazo ya generation yalipo. ..tumekwisha natulivyo wavivu. ..Taifa la mihemko
 
Back
Top Bottom