Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,094
Inasikitisha sana jinsi serekali hii inavyozivunja taratibu zake yenyewe!
-->>Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ni, Tanganyika + Zanzibar,
-->>Tumeshuhudia jinsi rais wa JMT alivyoapishwa bila ya upatikanaji wa rais wa Zanzibar,
-->>Ikumbukwe Zanzibar si mkoa ni nchi,
-->>Kwa mantiki nzima rais wetu mpaka muda huu ni rais wa Tanganyika,
N.b
****
Wazanzibar kazi mnayo!
-->>Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ni, Tanganyika + Zanzibar,
-->>Tumeshuhudia jinsi rais wa JMT alivyoapishwa bila ya upatikanaji wa rais wa Zanzibar,
-->>Ikumbukwe Zanzibar si mkoa ni nchi,
-->>Kwa mantiki nzima rais wetu mpaka muda huu ni rais wa Tanganyika,
N.b
****
Wazanzibar kazi mnayo!