Sio Binadamu tu hata Wanyama huvunjika moyo na kupata machungu

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,735
5283971_20170509190536_jpeg3ad4696347cb16c42b0f8bf9a324bec8
 
Kuna siku jamaa yangu fulani alipata dau kubwa la pesa mahali endapo amgepeleka sokwe.Jamaa yy ni muwindaji.Akaondoka zake na wenzake,walipofika maeneo sokwe walipo wakamuona dume na jike pamoja.
Wakafichama sana na kumshuti dume kwa gobole.Lile dume lilipoanguka jike halikuondoka likabaki linaangaza macho lione aliyeleta taharuki lipambane naye.
Jamaa wakafichama kwa hofu wakisubiri liondoke wakambebe yule sokwe.Ajabu baada ya dakika kamakumi lilimbeba yule sokwe na kukimbia naye kwa spidi ya ajabu.
Jamaa akawa amekosa dili kwa njia hiyo.Wanyama wana upendo kuliko sisi.
 
Nimetazama hii picha kwa umakini...tumbili mtoto anaoneka bado yu hai.
Ila kwa jinsi alivyochafuka ni dhahiri kapigwa,mamie ndio kapata uchungu.
Mimi pia nimeona hivo kiasi imenipunguzia uchungu. Ndio maana tumbili mdgo kamshika mama yake shingo laiti angekua kafa asingemshika mama yake! Ila tatizo inaonekana tumbili mdgo kapigwa sana hasa maeneo ya makalio kuelekea miguuni
 
Back
Top Bottom