SINGLE (S) special's thread

SINGLE (S) special's thread

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28]
Namsaidia asiendelee kuwa single
Mtoto kakubali kabisa wakayajenge, bado jamaa anataka afuatwe. Nimeona atasubiri sana, namchangamsha.

Daby hajaniulza swali halafu
Nakuaminia huwa ukosei [emoji106] [emoji106] !!!single or double??[emoji4] [emoji4] tukutafutie mpendwa ww!!!
 
Wajameni haka ka kaventino si kanahusu wapendwa wako wote i.e ndg, jamaa na marafiki... Mi valentino wangu safar hii ni mamaangu mzazi coz sijatoa albam bado, nina singo tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Dah.... Single bongo bana.?.omba ikae na simu yake kwa saa moja tu.. . Tusidanganyane...[emoji12] [emoji12]
 
Mm nipo single kwa sababu miss blossom hanitaki

Sijui kajificha wapi huyu mtoto
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilitaka kuchafua hali ya hewa mkuu dah,hakuna dhambi kubwa kwa me kma hyo nilofanya!!!ila kanisamehe!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume hatupendi kabisa hiyo kitu... ungekutana mla ngada saiv pasingetosha humu ndani!! mimi ninge[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom