Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,072
- 72,464
Mim pia nipo singleHahaha
Uzi tutadanganyana huu hadi tutajuta.
Kila mtu atakuwa single hapa
Mim pia nipo singleHahaha
Uzi tutadanganyana huu hadi tutajuta.
Kila mtu atakuwa single hapa
Nakuaminia huwa ukosei [emoji106] [emoji106] !!!single or double??[emoji4] [emoji4] tukutafutie mpendwa ww!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28]
Namsaidia asiendelee kuwa single
Mtoto kakubali kabisa wakayajenge, bado jamaa anataka afuatwe. Nimeona atasubiri sana, namchangamsha.
Daby hajaniulza swali halafu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilitaka kuchafua hali ya hewa mkuu dah,hakuna dhambi kubwa kwa me kma hyo nilofanya!!!ila kanisamehe!!![emoji16] [emoji16] nilikusoma mkuu nikasema ngoja nikae pemben nione kifuatacho!
Dah... Usijichanganye... Kuna kuwa single na kuwa na "mtu/watu"[emoji12] [emoji12]Mmh sijui am single,married or divorced, poor me!
HahahaaMim pia nipo single
HahahaNakuaminia huwa ukosei [emoji106] [emoji106] !!!single or double??[emoji4] [emoji4] tukutafutie mpendwa ww!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume hatupendi kabisa hiyo kitu... ungekutana mla ngada saiv pasingetosha humu ndani!! mimi ninge[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilitaka kuchafua hali ya hewa mkuu dah,hakuna dhambi kubwa kwa me kma hyo nilofanya!!!ila kanisamehe!!!
unaandika nn
Basi tuluke pamoja [emoji12]Mi mwenyewe wanawake wameniacha, sisi ni ndege wafananao[emoji4]
Dah... Usijichanganye... Kuna kuwa single na kuwa na "mtu/watu"[emoji12] [emoji12]
Nko hapa babe mchepuko wangu [emoji7]Mm nipo single kwa sababu miss blossom hanitaki
Sijui kajificha wapi huyu mtoto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo namalizia kumsajili, kasema yupo singo..Mm nipo single kwa sababu miss blossom hanitaki
Sijui kajificha wapi huyu mtoto