SINGLE (S) special's thread

Hajawahi guswa.....nyumban tunasema kitu mang'anyuu
salaale.. basi fany fany mambo ndugu yangu nibate bahati ya maisha.. wengine hatujawahi kukutana nazo toka tuzaliwe ,, huwa tunazisikia tu kwenye magazeti.
 
salaale.. basi fany fany mambo ndugu yangu nibate bahati ya maisha.. wengine hatujawahi kukutana nazo toka tuzaliwe ,, huwa tunazisikia tu kwenye magazeti.
 
espy mi mtani saana bhana msije mkanihukumu bure...I like joking ndiyo maana sina skendo za kufuatana fuatana pm. Ila nikikupenda direct nakuja nakuambia
Wacha we!!
 
Mie madomo zege siwataki, hebu nitongoze mwenyewe bwana, hujui ilivyoraha kutongozwa!!

Kwani huna matumizi nami tena?
Nikutongoze hapa hapa mubashara?
deby nipe mistari hata miwili nimalize kazi
 
Kwani huna matumizi nami tena?
Nitakosaje na wakati tumeshakubaliana...?
Mimi sio mhuni wa kula tunda halafu nikimbie. Umeshanambia nisikuumize moyo kama wengine. Nimekuskia
 
Nitakosaje na wakati tumeshakubaliana...?
Mimi sio mhuni wa kula tunda halafu nikimbie. Umeshanambia nisikuumize moyo kama wengine. Nimekuskia
Moyo wangu jiwe hauumiagi, mie nataka nikuonje tu sio uweke makazi bwana, na joto hili tubanane tena!!
 
Moyo wangu jiwe hauumiagi, mie nataka nikuonje tu sio uweke makazi bwana, na joto hili tubanane tena!!
Naamini hautaishia kunionja tu...
Farao alikuwa na moyo mgumu kuliko binadamu yeyote wewe nawe unamoyo mgumu kuliko wanawake wote. Nitakulainisha bila kutumia vilaishi kwa penzi mubashara
 
Naamini hautaishia kunionja tu...
Farao alikuwa na moyo mgumu kuliko binadamu yeyote wewe nawe unamoyo mgumu kuliko wanawake wote. Nitakulainisha bila kutumia vilaishi kwa penzi mubashara
Toto jizi hili!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…