SINGLE (S) special's thread

masingle boy huwa tunaraha sana...no stess,no kuhonga,hatutaki shidaa sisi life lenyewe tight hili
 
Kuwa single sio option ni matokeo ya kukosa kile unachokitarajia au ulichokitarajia.......

Kwa hiyo kiasili hakuna mtu ambaye yupo single bali kuna watu walio kwenye foleni ya kusubiri yule ambaye ni mahususi kwa ajili yake........

Wakati mwingine inachukua muda na safari hiyo hukufanya upitie changamoto mbali mbali kama vile kuwapata walaghai.....lakini safari lazima iendelee kwani huwezi kusema kuwa sitapenda tena......kwani sio sisi bali ni Mungu ndiye anayejaza upendo mioyoni mwetu......ndio maana pendo linaweza kumea sehemu yoyote hata wakati mwingine humshangaza aliyependwa na hata aliyependa.......

THAT IS
 
Kabisaa, maana kuungana katika jambo dogo kama hili, tunaweza kuishia kuungana katika kutoa baraka kwenye muungano wa nchi za jirani.
Kweli kabisa, na baraka zikawa kubwa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…