Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 366
- 1,376
Hapa kitaa kuna single mama ana watoto 4 watatu baba mmoja mmoja baba mwingine
Single maza huyu ana umri wa miaka 37 tu ni mjasiria mali. Kwa kuwa bado ni dogo dogo nikaona nimtie vokali niwe najipoozea kimtaa mtaa meshakubali
Na tayari nimemchakata. Ila chamgamoto niliyogundua bado anaendekeza mapenzi ya utoto ya kutaka kudekezwa dekezwa sms za mahaba simu za mara kwa mara kitu ambacho mimi kimenishinda.
Nafikiria kummwaga. Asanteni sana.
Single maza huyu ana umri wa miaka 37 tu ni mjasiria mali. Kwa kuwa bado ni dogo dogo nikaona nimtie vokali niwe najipoozea kimtaa mtaa meshakubali
Na tayari nimemchakata. Ila chamgamoto niliyogundua bado anaendekeza mapenzi ya utoto ya kutaka kudekezwa dekezwa sms za mahaba simu za mara kwa mara kitu ambacho mimi kimenishinda.
Nafikiria kummwaga. Asanteni sana.