Hili jambo ni kweli hujadanganya kabisa. Lakin embu tuseme ukweli ni binadamu wangapi wanaweza kupenda unconditionally? Jibu ni wachache mno.Usiwachukie mkuu, Waelewe
Ukitaka upendwe na single mother we mpende mtoto wake
Sent using Jamii Forums mobile app
KUNA ma nice guys na maSIMP hawa majamaa ni watu wanaowaharibu sana wanawake ,Na kupenda kujitiisha huruma kwa watu ifike mahali wabadilike ase
KUNA ma nice guys na maSIMP hawa majamaa ni watu wanaowaharibu sana wanawake ,
nimekuelewa vizuri sana sanaa.Hili jambo ni kweli hujadanganya kabisa. Lakin embu tuseme ukweli ni binadamu wangapi wanaweza kupenda unconditionally? Jibu ni wachache mno.
Wengi wa wanawake wenzangu, wenye watoto bila wenza, kuna ka self centered wanako. Most of the times gender yetu tunafail kureason, ama niseme kutumia akili. Wengi wetu hisia zimekuwa damaged maana tuna mambo yanatuzonga.
Unakuta mtoto wako hahudumiwi na baba ake, ama mwanaume aliekuzalisha kaoa afu hamlei mtoto..na huko anaishi maisha ya mazuri..(si post za whatsapp na insta unaziona), ama una roho mbaya na chuki ama kisirani..(hupendi aone kafanikiwa), ama una mpenda sanaa mtoto wako mpaka imekua extreme kiasi kwamba akija mwanaume..ule moyo uko kwa mtoto wako na yeye unampenda kikawaida sana sana kwa kumpa chiu lakin other sweet actions ni wewe na mtoto. Kuna scenarios nyingi sana siwez kuandika hapa zote.
All this wanaume wanapoona..huwa wanaona hili sio chaka. Maana mwanaume nae anakupenda na anataman your full submission, sasa anapoona ni wewe na mtoto wako aka dunia yako..anaona kabisa hapa huyu inawezekana bado anampenda past mjamaa. This creates questions, doubts, blocks,unanswered questions in a man's heart and mind. Inahitaji mtu mwenye capacity kubwa ya ufahamu, hekima, busara na upendo ambao Mungu amkirimie ili kuweza kumbeba such a woman.
Kwa kifupi wengi wa wanawake hawa..wako damaged kihisia. Alijiandikia to yeye hapa kwamba a man is a man..anahitajika katika familia hata awe mlev dogiii... Sio rahisi kufanya kila kitu wewe kwa m/wa toto bila kupata msaada au kuupata kwa kiasi kidogo..si rahisi kabisa.
Nakuombea wewe unayesoma hapa, na unapita in a similar situation, ya kulea mwenyewe ama kumpenda mwanamke wa mfano huu na bado una maswali na doubts zinakutatiza.. Mungu akakupe ufahamu, moyo, akili ya kuweza kulibeba hili. Na pia akuwezeshe uweze kumlea mtoto vizuri katika misingi ya kiMUNGU..huo upweke unaojisikia...may Jesus fill that place na akupe ujasiri wa kuendelea kupambana.
Natamani niandike zaid ila acha niishie hapa!!
Misingi ya kimungu huku wazazi wanaishi kishetani uliona wapi ikafanikiwa? We washauri kama mtu kaingia kwa single mother awe na nia ya kuoa na single mother akipata nafasi hiyo awe tayari kuolewa sio njia ya mkato ya kuzalishana kimtaamtaa miaka nenda rudi huku mmeandikiwa uzinzi mbinguni.Tuwashauri watu wawe na moyo wa kutambua kuwa uzinzi haukubaliki mbele za Mungu na usihalalishwe kwa mazingira yoyote yale tukahisi utaitwa safi ,never .Hili jambo ni kweli hujadanganya kabisa. Lakin embu tuseme ukweli ni binadamu wangapi wanaweza kupenda unconditionally? Jibu ni wachache mno.
Wengi wa wanawake wenzangu, wenye watoto bila wenza, kuna ka self centered wanako. Most of the times gender yetu tunafail kureason, ama niseme kutumia akili. Wengi wetu hisia zimekuwa damaged maana tuna mambo yanatuzonga.
Unakuta mtoto wako hahudumiwi na baba ake, ama mwanaume aliekuzalisha kaoa afu hamlei mtoto..na huko anaishi maisha ya mazuri..(si post za whatsapp na insta unaziona), ama una roho mbaya na chuki ama kisirani..(hupendi aone kafanikiwa), ama una mpenda sanaa mtoto wako mpaka imekua extreme kiasi kwamba akija mwanaume..ule moyo uko kwa mtoto wako na yeye unampenda kikawaida sana sana kwa kumpa chiu lakin other sweet actions ni wewe na mtoto. Kuna scenarios nyingi sana siwez kuandika hapa zote.
All this wanaume wanapoona..huwa wanaona hili sio chaka. Maana mwanaume nae anakupenda na anataman your full submission, sasa anapoona ni wewe na mtoto wako aka dunia yako..anaona kabisa hapa huyu inawezekana bado anampenda past mjamaa. This creates questions, doubts, blocks,unanswered questions in a man's heart and mind. Inahitaji mtu mwenye capacity kubwa ya ufahamu, hekima, busara na upendo ambao Mungu amkirimie ili kuweza kumbeba such a woman.
Kwa kifupi wengi wa wanawake hawa..wako damaged kihisia. Alijiandikia to yeye hapa kwamba a man is a man..anahitajika katika familia hata awe mlev dogiii... Sio rahisi kufanya kila kitu wewe kwa m/wa toto bila kupata msaada au kuupata kwa kiasi kidogo..si rahisi kabisa.
Nakuombea wewe unayesoma hapa, na unapita in a similar situation, ya kulea mwenyewe ama kumpenda mwanamke wa mfano huu na bado una maswali na doubts zinakutatiza.. Mungu akakupe ufahamu, moyo, akili ya kuweza kulibeba hili. Na pia akuwezeshe uweze kumlea mtoto vizuri katika misingi ya kiMUNGU..huo upweke unaojisikia...may Jesus fill that place na akupe ujasiri wa kuendelea kupambana.
Natamani niandike zaid ila acha niishie hapa!!
Umepanic kujibu mpendwa. Kama umenielewa nimeandika Mungu ambariki msomaji aweze kumlea mtoto wake katika misingi ya kiMUNGU. Huwezi kumlea katika misingi ya KiMUNGU kama mzazi na wewe humtafuti Mungu. Anatakiwa aamend his or her ways ndo ataweza kumlea mtoto huyo katika njia sahihi.Misingi ya kimungu huku wazazi wanaishi kishetani uliona wapi ikafanikiwa? We washauri kama mtu kaingia kwa single mother awe na nia ya kuoa na single mother akipata nafasi hiyo awe tayari kuolewa sio njia ya mkato ya kuzalishana kimtaamtaa miaka nenda rudi huku mmeandikiwa uzinzi mbinguni.Tuwashauri watu wawe na moyo wa kutambua kuwa uzinzi haukubaliki mbele za Mungu na usihalalishwe kwa mazingira yoyote yale tukahisi utaitwa safi ,never .
Hata umlinde single maza kwa miaka 30 kama hujamwoa kihalali kabisa , ukifa makazi yako jehanamu hata kama uliwatunza watoto wake vizuri kwa kadri ulivyoweza bado wewe ni mzinzi na huna haki mbele za Mungu.
Naunga mkono hojaMsinihukumu ila Single Mothers wengi haswa hawa vijana wana Tatizo la Afya ya Akili.
WE NEED TO TEACH RELATIONSHIP SKILLSDuh..
Watoto wadogo wanazoeshwa tangu mapema kuwa mahusiano ni mambo mepesi tu, yaani disposable kama tissue paper. Unaweza kuwa na huyu leo, kesho yule, na kesho kutwa mwingine.. Kama kuku tu🙄
Nina dada yangu Single maza,
Yeye alikuwa na chumba kimoja, na wanaume walikuwa wanamfuata hukohuko.Mtoto wake wa miaka saba wa kike, wanamlaza chini. mtoto anasikia kila kitu usiku huo.
MTOTO NDIO ALIYEKUJA KUTOA TAARIFA, KWAMBA HATAKI KUKAA KWA MAMA YAKE KWA SBB HIZO.Ukamuacha aendelee kuishi hapo
MTOTO NDIO ALIYEKUJA KUTOA TAARIFA, KWAMBA HATAKI KUKAA KWA MAMA YAKE KWA SBB HIZO.
MTOTO ALIKWENDA KUISHI NA BIBI
AiseeMTOTO NDIO ALIYEKUJA KUTOA TAARIFA, KWAMBA HATAKI KUKAA KWA MAMA YAKE KWA SBB HIZO.
MTOTO ALIKWENDA KUISHI NA BIBI