Single mama kuweni makini na watoto

Single mama kuweni makini na watoto

Wasamehe mkuu, siyo wao Ni mahaba ndiyo yanayowafanya wawe hivyo.
 
Wengi wanashida ya akili, kuwa single mama kisiwe kigezo cha kukata tamaa ya kuolewa. Simama futa yaliyopita ita nguvu mpya ukimpata mtu muheshimu usiishi yaliyopita wanaume wote sio sawa.

Wachache ndio wanaelewa
 
Morng
Happy new year in advance

Single mama baadhi yenu hamjitambui bado sana kwasababu wewe unajijua single mama then unaenda kumtambulisha mtoto mpenzi wako muite baba usiwe na uwakika kama mtafunga ndoa kesho morng unaachwa kesho kutwa unampeleka baba mwingine unawatambulisha tena watoto vile vile na unafanya mambo yako na huyo baba watoto wanaona hiyo ni akili kweli

Nina mfano halisi mpaka nasema hivi nimeshuhudia mimi sijabahati mtoto hila ninakaa ma watoto wa dada zangu jioni huwa nawaachia huru kwenda kucheza na wenzao

Sasa kuna siku watoto walienda kucheza walipo ludi jioni nikawatega kwasababu mmoja ni mkorofi atakinkuona mdogo wake anaonewa nikawauliza kwanini mnawapiga wenzenu uko nje mtakuwa hamtoki ndani

Ndio mdogo akalopoka uncle g yule p alikuwa ananionesha uchi wake af anachukua mdudu wangu anasema niingize nilistuka sana huyo p ni mtoto wa single mama ambaye kila siku anamtambulisha baba mpya

Nikafoka nikasema kwazia leo hakuna mtu kutoka hapa huko mnaenda kucheza michezo ya ajabu vuta picha hawa watoto wna miaka minne wote

Mmoja akaaza kujitetea uncle wewe si uliniambia nikifahuru nitakuwa nacheza mimi si nimekuwa wa pili uncle g shule ikifunguliwa nitakuwa wakwaza lakini niruhusu niwe nacheza hila p sitacheza nae

Mimi sina mke hila nina mchumba na hajawai kuja home ata siku mmoja nina kaa na dada wa kazi nikiwa na shida zangu naenda kwake au tunaenda logde na watoto naaga nimesafirinkabisa

Sasa ninyi single mama mnashindwa kweli kwenda lodge au mnakopwaga kinacho niuma mimi ni kwanini muwatambulishe watoto mababa tofauti kila siku?

Mnapokuwa kwemye faragha kwanini msiweke kipaumbele kwa watoto kuhakikisha hawapo sehemu ya tukio
Kwanza kwa nin huyo baba amuone mtoto live kwa picha hakuna
 
Back
Top Bottom