Kama tungeliweza kujua economic activities za kila eneo lingetoa mwanga ni namna gani in future maeneo hayo yanaweza kusaidiwa. Kwa mfano, inawezekana kuna ufugaji mkubwa na kilimo cha mazao ya chakula na biashara maeneo ya Singida. Masoko ya bidhaa zao pengine ni tatizo. Haya makampuni ya wadosi huwa yanawalalia sana wakulima wakienda kununua product zao vijijini. Kwa kuwa kile wanachokifanya kinaweza kuwalipa ila hawajui wapi kuna masoko ya uhakika, ingekuwa muhimu kuunganisha information hizo zote za potentials za maeneo yetu tofauti na kama itawezekana watashauriwa namna ya kupata masoko ya uhakika. Kwa njia hii ya wadosi kwenda fron kununua mazao, tusitegemee lolote katika kupunguza umaskini. Ni walaliaji kweli