Hizi timu mbili ni laini kama biscuits kwa timu nyingine kwenye ligi lakini zinageuka ngumu kama jiwe zinapokutana na Yanga. Hii inaonyesha kuwa makocha wa timu hizi wana bifu na timu ya Yanga lililopitiliza.
Unakumbuka Toto kwa Simba?
Sio unavyofikiri hata ulaya kuna timu ndogo kufungwa na kubwa ni kazi sana.. Mfano Wigan v Man city.
Pale spain kuna Celta vigo kwa Barca, au Bilbao kwa Madrid. kwa hyo ni moja ya mechi ambazo zipo na ndio ushindani wa soka huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.