Manyoni, Singida: Ajali yaua wafanyakazi watano wa Wizara ya Kilimo

Nyankuru Wankuru

JF-Expert Member
Apr 22, 2018
1,199
1,346
Watu watano wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha gari ndogo, ya Wizara ya Kilimo na Chakula na lori iliyotokea eneo la Njirii Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.

Taarifa za awali zinadai kwamba gari dogo lilikuwa limebeba wataam wanne pamoja na dereva, wote wamefariki papo hapo ambapo wanaume walikuwa watatu na wanawake wawili.

Akithibithisha kutokea kwa ajali hiyo, Kamanda wa Polisi Mkoa, Sweetbert Njewike amesema kwamba miili imehifadhiwa ktk Hosptal ya Wilaya Manyoni.


Chanzo: Azam tv

TANZIA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anapenda kuwataarifu ya kuwa Wizara ya Kilimo imepatwa na msiba wa Watumishi wake Watano (5) waliopata ajali leo asubuhi tarehe 21 Oktoba, 2018 Manyoni mkoani Singida, walipokuwa safarini kuelekea Mwanza kikazi. Watumishi hao waliofariki ni;
1. Stella Joram Ossano (39)
2. Esta Tadayo Mutatembwa (36)
3. Abdallah Selemani Mushumbusi (53)
4. Charles Josephat Somi
5. Erasto Mhina (43)

Miili ya marehemu ipo njiani kuja Hospitali ya Mkoa wa Dodoma leo tarehe 21 Oktoba 2018.

Mungu azilaze roho zao mahala pema peponi, Amina

DqCyrMpXQAYqBHB.jpg
 
Watu watano wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha gari ndogo, ya Wizara ya Kilimo na Chakula na lori iliyotokea eneo la Njirii Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.

Taarifa za awali zinadai kwamba gari dogo lilikuwa limebeba wataam wanne pamoja na dereva, wote wamefariki papo hapo ambapo wanaume walikuwa watatu na wanawake wawili.

Akithibithisha kutokea kwa ajali hiyo, Kamanda wa Polisi Mkoa, Sweetbert Njewike amesema kwamba miili imehifadhiwa ktk Hosptal ya Wilaya Manyoni.


Chanzo: Azam tv

Hii gari naifahamu sana na dereva wake pia..nimepata kuifahamu hii gari sababu dereva huwa anaikimbiza saaaana yan..inaishi udom..mara nyingi sana naishuhudia hii gari ina mwendo kasi wa ajabu sana yan..
 
Government team, ambao tulikuwa tunatoka Dodoma kwenda Mwanza tukiwa na magari manne, kati ya hayo moja limepata ajali

Ajali hii ni mbaya, imetokea eneo la Njirii Manyoni. Ambapo Gari la Wizara ya Kilimo na Chakula, iliyokua imebeba Wataam wanne pamoja na Dereva Wote wamefariki papo hapo. Magari yalogongana ni Kati ya Gari dogo la Serikali na Lori la Mafuta mali ya Kampuni ya Mount Meru ya Rwanda. Waliofariki ni Wanaume watatu, na wanawake wawili. Miili imehifadhiwa katika Hosptal ya Wilaya Manyoni. Mwenyezi Mungu Awafariji wafiwa.....

======

UPDATES:

TANZIA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anapenda kuwataarifu ya kuwa Wizara ya Kilimo imepatwa na msiba wa Watumishi wake Watano (5) waliopata ajali leo asubuhi tarehe 21 Oktoba, 2018 Manyoni mkoani Singida, walipokuwa safarini kuelekea Mwanza kikazi. Watumishi hao waliofariki ni;
1. Stella Joram Ossano (39)
2. Esta Tadayo Mutatembwa (36)
3. Abdallah Selemani Mushumbusi (53)
4. Charles Josephat Somi
5. Erasto Mhina (43)

Miili ya marehemu ipo njiani kuja Hospitali ya Mkoa wa Dodoma leo tarehe 21 Oktoba 2018.

Mungu azilaze roho zao mahala pema peponi, Amina
FB_IMG_1540131626047.jpg
FB_IMG_1540131634741.jpg
FB_IMG_1540131644895.jpg
FB_IMG_1540132803968.jpg
FB_IMG_1540132540777.jpg
 
Hii gari naifahamu sana na dereva wake pia..nimepata kuifahamu hii gari sababu dereva huwa anaikimbiza saaaana yan..inaishi udom..mara nyingi sana naishuhudia hii gari ina mwendo kasi wa ajabu sana yan..
Baada ya kufahamu ulitoa taarifa polis?
 
Government team, ambao tulikuwa tunatoka Dodoma kwenda Mwanza tukiwa na magari manne, kati ya hayo moja limepata ajali

Ajali hii ni mbaya, imetokea eneo la Njirii Manyoni. Ambapo Gari la Wizara ya Kilimo na Chakula, iliyokua imebeba Wataam w4 pamoja na Dereva Wote wamefariki papo hapo. Wanaume watatu, na wanawake wawili. Miili imehifadhiwa ktk Hosptal ya Wilaya Manyoni. Mwenyezi Mungu Awafariji wafiwa.....
Dah, viinua mgongo vyao pamoja na mshahara wao wa mwezi huu nao umekwenda dah? RIP wote
 
R.I.E.P wafanyakazi wa Kilimo
Poleni sana wafiwa

Naona kutoa majina haraka ni kama ndugu wengine watasoma mitandaoni..labda kama wamesha wataarifu next of kin
 
Back
Top Bottom