Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hivi mzee unatumiaga Torrents?
la hasha..niko part 3 na bado sijamwona huyo CHEMI aliyedai kwenye blog yake kuwa alikuwa extra kwenye hii movie kama bar maid..nimetazama scened mbili za Boston na kule Vegas sijamwona..lakini kwa sababu bado sijamaliza kuitazama basi nitakufahamisha yuko kwenye scene gani
Ngoja nianze kuiangalia....lol lakini sijui huyo Da Chemi anafananaje....
mjomba tazama tena inks zako hapo juu..ziko 4
cheki hii thread:Kwenye part ya nne inaishia pale Fishburne anapokaa naye kwenye kiti na yule demu ananyanyuka na kuondoka.