Sina Swaga za kula mzigo!

Sina Swaga za kula mzigo!

Poba Crew

Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
23
Reaction score
2
Wanajf,tatizo langu ni kwamba nashindwa kutongoza,nina miaka 25 mpaka leo nimewachapa madem wawili tu,na toka tuachane na wa mwisho wapata mwaka mmoja na nusu,sasa sielewi kuwa swaga zangu finyu au kitu gani mana hata akinukubalia nitakosa kuchapa,pia naomba mnisaidie njia ya kuimuingilia demu kwa siku ya kwanza unaetaka kumtongoza kwani nahisi hapo ndo navuruga kabisa.nawasikiza!
 
Wanajf,tatizo langu ni kwamba nashindwa kutongoza,nina miaka 25 mpaka leo nimewachapa madem wawili tu,na toka tuachane na wa mwisho wapata mwaka mmoja na nusu,sasa sielewi kuwa swaga zangu finyu au kitu gani mana hata akinukubalia nitakosa kuchapa,pia naomba mnisaidie njia ya kuimuingilia demu kwa siku ya kwanza unaetaka kumtongoza kwani nahisi hapo ndo navuruga kabisa.nawasikiza!

kuna mganga hapa nyumbani ,labda nikupe namba zake uwasiliane nae atakusaidia
 
Ha ha udomo zege kazi sana nyie ndo mnaishia kuwala mifugo na wanyama nyie,kama umeshindwa kutongoza mtaani kwenu utaweza JF?Nenda facebook huko ukajifundishe kutongoza au ukishindwa endelea kupiga puli

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hivi unataka upewe ujanaja wa kufanya haram? unanshagaza!

Badala ya kusema unatafuta mchumba unataka kuoa? eeeh kijana, tubu kwa mola wako na anakuepusha na mabalaa lakini hujijui hujitambui.
 
Wanajf,tatizo langu ni kwamba nashindwa kutongoza,nina miaka 25 mpaka leo nimewachapa madem wawili tu,na toka tuachane na wa mwisho wapata mwaka mmoja na nusu,sasa sielewi kuwa swaga zangu finyu au kitu gani mana hata akinukubalia nitakosa kuchapa,pia naomba mnisaidie njia ya kuimuingilia demu kwa siku ya kwanza unaetaka kumtongoza kwani nahisi hapo ndo navuruga kabisa.nawasikiza!

mpo likizo au ndio unajisomea kwa ajili ya NECTA mwishoni mwa mwaka huu..
 
Ha ha udomo zege kazi sana nyie ndo mnaishia kuwala mifugo na wanyama nyie,kama umeshindwa kutongoza mtaani kwenu utaweza JF?Nenda facebook huko ukajifundishe kutongoza au ukishindwa endelea kupiga puli

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Mara ya kwanza Mwambie unapenda muwe kama rafiki mkishazoeana mtamkie kuwa unampenda atakukubalia tu.
 
Nakujibu kwa uzoefu nilionao kuhusu ulivyo. Huenda ikawa unawaogopa wasichana na hata hao ulio wapta huenda walikutamani pia ndio maana ukawapata kirahc, na hi husababishwa na kujitenga nao au mazingira uliokulia yalichangia ww kuwaogopa so inabidi ujiamini mbele yao na uwe karibu nao utafanikiwa
 
Ikimbieni zinaa jamani!!!!!!!!
Naona unataka kuongeza idadi ya wazinifu, pole sana
 
Mie nitakusaidia maana Naona wengi wanakuzodoa usije Baka bure wakati uliomba msaada!!. Moja Kubwa unalotakiwa kufanya ni KUJIAMINI mwanamke yoyote Yule anahitaji Mtu mwenye KUJIAMINI na unaweza kujenga mazoea madogo madogo kwanza ili aweze kuzoeana na wewe na usiwe Mtu wa kujisifia mbele yake au kujichekesha chekesha! Mara nyingi wasichana hawapendi Mtu ambaye anajidai anajua Kila kitu fikilia kabla ya kusema! Akisha onyesha dalili za kuwa Karibu na wewe unaweza Mtoa out! Maybe cinema or some where sio kwenye mabaa hovyo hovyo!! Baadae unaweza ukamwambia Kama mnaweza kuwa together Kwani unavutiwa nae jaribu kumsifia pia! Usionyeshe una haraka ya kumweleza kilichopo moyoni na kumbuka siraha ni KUJIAMINI. Kitu kingine lazima uisome saikolojia yake! Taratibu utaanza kujenga kitu baina yenu taratibu nae anavutika kwako!!
 
Hata wale wa kununua pia wanakushinda??
 
Usijali. Ukifikisha miaka 30 utakuwa umepata uzoefu wa kutongoza!
 
Wanajf,tatizo langu ni kwamba nashindwa kutongoza,nina miaka 25 mpaka leo nimewachapa madem wawili tu,na toka tuachane na wa mwisho wapata mwaka mmoja na nusu,sasa sielewi kuwa swaga zangu finyu au kitu gani mana hata akinukubalia nitakosa kuchapa,pia naomba mnisaidie njia ya kuimuingilia demu kwa siku ya kwanza unaetaka kumtongoza kwani nahisi hapo ndo navuruga kabisa.nawasikiza!

MMhh...shule zinafunguliwa lini hawa watu warudi huko facebook maana jf tumevamiwa na wanafacebook..
 
Nakujibu kwa uzoefu nilionao kuhusu ulivyo. Huenda ikawa unawaogopa wasichana na hata hao ulio wapta huenda walikutamani pia ndio maana ukawapata kirahc, na hi husababishwa na kujitenga nao au mazingira uliokulia yalichangia ww kuwaogopa so inabidi ujiamini mbele yao na uwe karibu nao utafanikiwa

Hee.. wewe si umeanzisha thread humu unaomba ushauri kwamba hujiamini.. saivi umegeuka mshaur tena topic hiyohiyo... au nakufananisha?
 
Mie nitakusaidia maana Naona wengi wanakuzodoa usije Baka bure wakati uliomba msaada!!. Moja Kubwa unalotakiwa kufanya ni KUJIAMINI mwanamke yoyote Yule anahitaji Mtu mwenye KUJIAMINI na unaweza kujenga mazoea madogo madogo kwanza ili aweze kuzoeana na wewe na usiwe Mtu wa kujisifia mbele yake au kujichekesha chekesha! Mara nyingi wasichana hawapendi Mtu ambaye anajidai anajua Kila kitu fikilia kabla ya kusema! Akisha onyesha dalili za kuwa Karibu na wewe unaweza Mtoa out! Maybe cinema or some where sio kwenye mabaa hovyo hovyo!! Baadae unaweza ukamwambia Kama mnaweza kuwa together Kwani unavutiwa nae jaribu kumsifia pia! Usionyeshe una haraka ya kumweleza kilichopo moyoni na kumbuka siraha ni KUJIAMINI. Kitu kingine lazima uisome saikolojia yake! Taratibu utaanza kujenga kitu baina yenu taratibu nae anavutika kwako!!

Gud advice, i will do dat! thanx
 
Hivi unataka upewe ujanaja wa kufanya haram? unanshagaza!

Badala ya kusema unatafuta mchumba unataka kuoa? eeeh kijana, tubu kwa mola wako na anakuepusha na mabalaa lakini hujijui hujitambui.

kweli ndo wewe uliyepigwa life ban au mwingine!yaani nilijiunga jf kwa post&koment zenu😡faizafoxy na Malaria Sugu.
 
Last edited by a moderator:
Mara ya kwanza Mwambie unapenda muwe kama rafiki mkishazoeana mtamkie kuwa unampenda atakukubalia tu.

Asante,nadhani Hapo Ndo Nilikuwa Nakosea Kwani Nimekuwa Nakurupuka Tu,lakin Vp Kwa Wale Masagaplasha Unamuona Leo Tu Yawezekana Ucmuone Tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom