bernard10
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 410
- 731
Ndgu zangu habar zenu,
Mimi Ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza nna laki5 ninataka kununua PC, lakini sna knowledge nazo Sana najua wengi humu mnaweza kunisaidia.
1.brand gani itafaa Zaid (with better software, storage , lifespan, etc.)
2.Kwa bajeti yang naweza nkapata PC yenye
A.had drive capacity (speed) gani?
B.RAM & Software
C.Operating system etc
3.Iwe HDD au SDD na kwann?
Mwenye knowledge anaweza akanishauri ntashukuru Sana asanteni.
Mimi Ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza nna laki5 ninataka kununua PC, lakini sna knowledge nazo Sana najua wengi humu mnaweza kunisaidia.
1.brand gani itafaa Zaid (with better software, storage , lifespan, etc.)
2.Kwa bajeti yang naweza nkapata PC yenye
A.had drive capacity (speed) gani?
B.RAM & Software
C.Operating system etc
3.Iwe HDD au SDD na kwann?
Mwenye knowledge anaweza akanishauri ntashukuru Sana asanteni.