Sina imani na ofisi ya CAG

Sina imani na ofisi ya CAG

Mr.kibulala

Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
58
Reaction score
20
Kwa ufupi/kiwango kidogo sna na mpongeza CAG(Utouh)kwa yeye mwenyewe kua na dhamira ya dhati,ila kwa watumishi wake kutokuwa waaminifu/mafisadi hasa wakati wakufanya ukaguzi ambao ripoti upelekewa mkubwa wao,kwani nao ni walaji wakubwa wa rushwa hasa ktk halmashauri wakifika kukagua upewa takrima mf malazi, chkula angali upewa perdiem na ofic ya CAG, na baadae udai fedha(rushwa)kutoka kwa wakurugenzi ili wafiche ukweli,na hli lipo ktk mkoa wa kagera wamezidi mf ktk kaguzi moja wanadai zaidi ya 14m ili kuficha madudu.

Kwa hali hyo %kubwa ya ripoti za cag hazina ukweli kwa kiasi kikubwa na zinazotoka ni kwa wale waliokataa kutoa rushwa/kulifanyika special auditing.kwa ufupi nchi iko corrupt mno.NAWASILISHA M4C DAIMA
 
Bdo naendelea kuna namashaka na ripoti za CAG nyingine zimefichwa
Kama vile unachuki binafsi....Mmmmmh!huyu mwenzetu kweli?ninamashaka na hoja zako sututoe kwenye mada plzzz cctunadeal nayaliyofichuliwa kwenye ripoti y CAG na sio kudeal namfichuaji. Nakushauri soma alama za nyakati ili usiwe outdated........
 
Mimi bado naendelea kuzisoma ripoti zake. Nikimaliza ntaleta maoni yangu. Lakini hadi sasa nilipofikia naona red flag behind his reports.
 
Kama vile unachuki binafsi....Mmmmmh!huyu mwenzetu kweli?ninamashaka na hoja zako sututoe kwenye mada plzzz cctunadeal nayaliyofichuliwa kwenye ripoti y CAG na sio kudeal namfichuaji. Nakushauri soma alama za nyakati ili usiwe outdated........

suala ni kwamba kama kuna madudu bado yamefichwa na yanafamika yawekwe wazi!
 
Ila kusema ukweli kila kona serikali inamegwa naona CAG ameamua kuwatoa kafala wachache tuu!
 
Kama vile unachuki binafsi....Mmmmmh!huyu mwenzetu kweli?ninamashaka na hoja zako sututoe kwenye mada plzzz cctunadeal nayaliyofichuliwa kwenye ripoti y CAG na sio kudeal namfichuaji. Nakushauri soma alama za nyakati ili usiwe outdated........

sina na jambo/chuki ila ninaweka angalizo tusijiaminishe na ofic ya CAG kwani kwa bahati mbya cjui nani anawakagua so hta wao cwakweli na mifano tunayo na 2nafuatilia kwa ajili ya kutoa ripoti kamili kwa baadhi ya watumishi waliochni ya cag cyo waaminifu
 
Back
Top Bottom