Mwenzio nilipata limama from UK lkn mwenyeji wa Shinyanga lilikuwa linanitumia picha fake coz alidata sana na uhandsome wangu.Alikuwa akinitumia paund 1000 mpk 2000 mwisho wa siku anakuja tz alinitumia nauli from mkoani mpk Dar.Kituko kuja airpot nahaha kumtafuta simuoni, akaja kunishika bega na kuniambia yy ndiye mwenyeji wangu.Niliishiwa pozi coz alinipeleka hotel ya maana, sema japo mtu mzima aliumbika haswaa na hata sura yake ipo bomba balaa.Isee aliniomba msamaha Kwa kunidanganya, nikampa kichapo heavy peku2 coz cha kwanza lilitoa vipimo tukajipima.Mpk Leo nakula manoti tu lipo zake UK.