hussein boxer
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 832
- 335
Habari zenu wakuu, kwa ufupi ni kwamba tangu wazo la kutaka kuoa linijie nakosa mchumba ambaye yupo siriazi na maisha, umri wangu ni miaka 32 nimeona umri unaenda nami nahitaji kuwa na familia kama vijana wengine,.
Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .
Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.
Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?
Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .
Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.
Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?