Sina bahati ya kupendwa

Sina bahati ya kupendwa

hussein boxer

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
832
Reaction score
335
Habari zenu wakuu, kwa ufupi ni kwamba tangu wazo la kutaka kuoa linijie nakosa mchumba ambaye yupo siriazi na maisha, umri wangu ni miaka 32 nimeona umri unaenda nami nahitaji kuwa na familia kama vijana wengine,.

Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .

Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.

Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?
 
hauko serious mbona wako bwerereree hivyo, mi kila siku nakutana nao tena wao ndo wananililia mm..
ha haa jaribu kuwa serious.
 
Huwa nasikia umri wa wanaume kuoa hauendi kwa hiyo usitie shaka. halafu unavyosema katika "wachumba" 9 mmoja tu ndo ulisex nae unamaanisha nini? unauelewa vipi uchumba yani. una uhakika uko tayari kuoa au unataka kuoa kwa sababu vijana wenzio wa umri wako wana familia? Umesema huna bahati ya kupendwa? Wewe mwenyewe unajipenda? una amani? huna msongo? huna upweke? Hangaika na wewe mwenyewe kwanza. Ukishakaa vizuri kimwili, kiakili na kiroho utanunurisha upendo, furaha na amani kwa hiyo utapendwa labda na kutamaniwa mpaka ushindwe kuchagua.
 
Mmmmh hebu badili mtizamo wako juu ya hilo na everthing ll be okey, ni bora uchelewe kuoa kuliko ukurupuke the uje ujutie maisha yote.

Hebu forcus kwanza kwenye kujijenga kiuchumi, kujiweka karibu na Mungu na usikurupuke kuanzisha mahusiano, wakati ukifika kila kitu kitakuwa poa, alafu tafuta size yako(mnayeendana)
 
Habari zenu wakuu, kwa ufupi ni kwamba tangu wazo la kutaka kuoa linijie nakosa mchumba ambaye yupo siriazi na maisha, umri wangu ni miaka 32 nimeona umri unaenda nami nahitaji kuwa na familia kama vijana wengine,.

Tangu mwaka 2012 wazo la kuoa lilinijia na mpaka sasa nilishapata wachumba 9 ni mmoja tu ndio nilisex nae. Wapenzi hao wote waliniacha kwa sababu mbali mbali kama umri, kwenda kusoma, usaliti n.k .

Kwa sasa nahitaji mke ila sipati na nikipata ni wale wasio na malengo yani wachunaji.

Nifanyeje wakuu au kuna mahali nakosea?

Pole sana mkuu, lakn usikate tamaa kwan Mungu bado anakuandalia yule atakekufaa daima, Mutumainie bwana naye atakutafutia wakufanana nae, hakika bwana hajakuacha,
 
Kama ndo hivyo hama chama ulichopo kwani yawezekana
ndi kinaweza kuwa kinakupa hilo gundu lililokuganda ka ruba.
 
tatizo lako upo desperate unataka ndoa mkuu...
tengeneza foundation ya mahusiano kwanza afu ndoa itafata.. umri haujalishi ndoa ni mikiki mikiki mkuu ko tafuta mtu anae match na wewe anzia step ya chin kabisa urafiki msome mtu afu ndo ivyo vya mapenzi vianze la si ivyo we utaangukia pua kila siku

asante kwa ushauri wako nitaufanyia kazi mkuu
 
Pole sana mkuu, lakn usikate tamaa kwan Mungu bado anakuandalia yule atakekufaa daima, Mutumainie bwana naye atakutafutia wakufanana nae, hakika bwana hajakuacha,

Nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu.
 
Huwa nasikia umri wa wanaume kuoa hauendi kwa hiyo usitie shaka. halafu unavyosema katika "wachumba" 9 mmoja tu ndo ulisex nae unamaanisha nini? unauelewa vipi uchumba yani. una uhakika uko tayari kuoa au unataka kuoa kwa sababu vijana wenzio wa umri wako wana familia? Umesema huna bahati ya kupendwa? Wewe mwenyewe unajipenda? una amani? huna msongo? huna upweke? Hangaika na wewe mwenyewe kwanza. Ukishakaa vizuri kimwili, kiakili na kiroho utanunurisha upendo, furaha na amani kwa hiyo utapendwa labda na kutamaniwa mpaka ushindwe kuchagua.

kwa kweli mkuu upweke ninao pia msongo wa mawazo upo 7bu ndugu jamaa na marafiki wananizonga kuhusu kuoa.
 
Pole sana mkuu, lakn usikate tamaa kwan Mungu bado anakuandalia yule atakekufaa daima, Mutumainie bwana naye atakutafutia wakufanana nae, hakika bwana hajakuacha,

asante mkuu Naami Mungu ipo siku atanionesha wa kwangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom