Simulizi: Basi la shetani

Ahsante sana The_ Legend kwa kuimaliza simulizi hii kwa wakati
Karibu tena mkuu. Kimsingi ilikua rahisi kuiweka yote kwa mda mfupi sababu ilishatumwa yote whatsapp, so tayari nlikua nayo mwanzo mpaka mwisho

the Legend☆
 
Hahahaha!! Tokea nimejiunga JF kama siyo 2009 ni 2010 sijawahi kusoma riwaya humu jamvini lakini hii nimesoma na kuimaliza......Nachangia wapi hata maji ya kunywa kwa mtunzi au mhusika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha!! Tokea nimejiunga JF kama siyo 2009 ni 2010 sijawahi kusoma riwaya humu jamvini lakini hii nimesoma na kuimaliza......Nachangia wapi hata maji ya kunywa kwa mtunzi au mhusika?

Sent using Jamii Forums mobile app
0653195298 (namba imesajiliwa kwa jina Deogratius Tarimo) Hiyo ni namba ya Deo mwenyewe, ambae ndio mtunzi wa hii simulizi. Unaeza cheki nae mkuu

the Legend☆
 
Safi sana story nzuri sana...

Winny anapenda sana kuchokonolewa hahahaha...

Mahinda ni mwanamke mwenye msimamo sana, safi...

Ila imeisha kivichekesho chekesho...


Chapter closed...


Cc: mahondaw
 
nimeisoma kwa siku mbili ! kwa hakika ilikuwa ni hadithi nzuri especialy kwa sie tuishio porini sometime simulizi kama hizi zinatupa kampani fulani baada ya kazi na mihangaiko yetu... big up mtunzi hope utakuwa na kitu kipya tena
 
nimeisoma kwa siku mbili ! kwa hakika ilikuwa ni hadithi nzuri especialy kwa sie tuishio porini sometime simulizi kama hizi zinatupa kampani fulani baada ya kazi na mihangaiko yetu... big up mtunzi hope utakuwa na kitu kipya tena
Nakushkuru kwa niaba ya mtunzi. Vitu vingine vipo mkuu, ukicheki kwenye threads zangu utazikuta

the Legend☆
 
Mambo ni Sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili basi la sheitwan kweli hajulikani konda wala dereva achilia mbali abiria
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…