simuelewi mwanamke huyu

sasa unashangaa nini?! wakati wewe ndio ulomwambia aombe talaka!! ....... oa na wewe umegewe.
 
ni mwanamke ndio haeleweki au wewe???
maana ulimwambia adai talaka,amefanya hivyo....kipi usichokielewa sasa?:mad2:
 
naamini wewe do tatizo kubwa kwan tamaa yako unataka kumharibia mke wa mtu mahusiano yake .. je wakati unashauriana naye kuomba talaka ulitegemea apewe nishani?? kapewa talaka unaishangaa vuna ulichopanda​
 
Wengine wanaingia kwenye ndoa kwa SHINIKIZO FULANI bila ruhusa ya mioyo yao sasa labda kaona best selection yake imeangukia kwako hivyo kaa nae kwanza usiharakishe kufunga ndoa naye coz inawezekana ikawa ni wale wanawake wasio na msimamo ikala kwako.
 
wajameni nilikuwa na uhusiano wakimapenzi na mke wa jirani.kila mara huniambia ananipenda sana kuliko mumewe wa ndoa, siku moja nilimwambia kama kweli ananipenda aende akadai talaka ili tuwe pamoja .karudi kwangu anasema tayari kashapewa talaka nimuowe !!!?? simuelewi mwanamke huyu nimchukulie vipi?

Kama kungekuwa na tuzo za Wapumbavu/Vilaza wa JF, you would have my vote brah
 
Back
Top Bottom