kwani yeye hana akili nigelimshauri ajinyonge angefanya hivyo??
wajameni nilikuwa na uhusiano wakimapenzi na mke wa jirani.kila mara huniambia ananipenda sana kuliko mumewe wa ndoa, siku moja nilimwambia kama kweli ananipenda aende akadai talaka ili tuwe pamoja .karudi kwangu anasema tayari kashapewa talaka nimuowe !!!?? simuelewi mwanamke huyu nimchukulie vipi?