Habarini kwanza, naombeni ushauri kwa hili.
Nina watoto 2 nimeishi na mwenazngu kwa miaka 5 ila bado hatujafunga ndoa mwenzangu ameanza tabia za ajabu ambazo hapo kabla sikuwahi kuzijua kabisa kawa mlevi wanawake ndo usiseme nilipokuja kugundua nilipewa kipigo nikaamua kurudi kwetu maana hatujafunga ndoa cha ajabu ndo kwanza alikuwa ananiambia we kaa huko huko me nitaishi peke angu mara me nitaoa mambo kibao ili ajue nitafanya nini ila mimi nikamjibu we fanya utakalo amua.
Ugomvi wetu ulikuwa mkubwa hadi kufikia kwa wazazi maana una mambo mengi imepita miezi kadhaa nilikuwa kimya tu saa ivi ananiambia anaomba yaishe nirudi wakati alishanikabidhi kwa wazazi wangu kuwa hanihitaji tena nami nikaamua kufanya yangu na nijipange tena upya kimaisha, na kule kwa wazazi wanajua ameshanikataa ila yeye moyon anakiri bado ananihitaji.
Niliacha kazi kwaajili yake maana tulikuwa tukaa mikoa tofauti ila sasa hivi nimerudi tena kazini ila yeye mpaka sasa hajui kama ninafanya kazi nimfanyaje mtu huyu.
Nina watoto 2 nimeishi na mwenazngu kwa miaka 5 ila bado hatujafunga ndoa mwenzangu ameanza tabia za ajabu ambazo hapo kabla sikuwahi kuzijua kabisa kawa mlevi wanawake ndo usiseme nilipokuja kugundua nilipewa kipigo nikaamua kurudi kwetu maana hatujafunga ndoa cha ajabu ndo kwanza alikuwa ananiambia we kaa huko huko me nitaishi peke angu mara me nitaoa mambo kibao ili ajue nitafanya nini ila mimi nikamjibu we fanya utakalo amua.
Ugomvi wetu ulikuwa mkubwa hadi kufikia kwa wazazi maana una mambo mengi imepita miezi kadhaa nilikuwa kimya tu saa ivi ananiambia anaomba yaishe nirudi wakati alishanikabidhi kwa wazazi wangu kuwa hanihitaji tena nami nikaamua kufanya yangu na nijipange tena upya kimaisha, na kule kwa wazazi wanajua ameshanikataa ila yeye moyon anakiri bado ananihitaji.
Niliacha kazi kwaajili yake maana tulikuwa tukaa mikoa tofauti ila sasa hivi nimerudi tena kazini ila yeye mpaka sasa hajui kama ninafanya kazi nimfanyaje mtu huyu.