Mimi ni kijana wa miaka 28, kwa sasa nahisi umefika muda muafaka wa kuwa na mwenza wa kujenga nae maisha na familia. Kuna mdada ambae nilitokea kumpenda na ninatamani awe mke wangu.kiukweli toka tumeanza mahusiano hatujawahi hata kusex na Tatizo lililopo ni kuwa simuelewi kabisa maana inaweza pita hata miezi miwili hatujaonana na kila nikimhitaji anadai yupo busy nikimuomba niende kwao angalau nimuone hataki na anakuwa anatoa visingizio tu so tunaishia kuwa wapenzi wa kuongea na simu tu na kuchat japo pia sometimes simu huwa hapokei na wala sms hajibu na nikimuuliza mbona unanifanyia ivo mpaka nakuwa sikuelewi anajibu kuwa bado ananichunguza. Tuna miezi minne toka tuanze mahusiano bt nahisi nmechoka na nahitaji nitafute mtu mwingine. Pls naombeni ushauri niendelee kumvumilia au niachane nae?