Simuelewi Mke wangu

Niambie Tu

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2022
Posts
262
Reaction score
668
Habari.

Mimi na mke wangu Tumeanza kuishi pamoja tangu 2022 ila kuna changamoto niliziona tangu mpaka leo sijawahi kuona zikibadilika zaidi ya mimi kuwa maskini wa kutupwa.

Mke sio mpenzi wa tendo mara nyingi mimi ndo nimekuwa nikimuanzishia hili suala na nilipambana kufuatilia Hospitali alionekana ana uvimbe akafanyiwa operation ila bado mpaka sasa mimi ndo kama nina uhitaji mkubwa na hili Tendo.

Kingine sio mtu wa furaha wala Amani nyumba yangu tunaishi kama tuko msibani sio mtu wa furaha hayuko romantic wala nimejitahidi sana ila hajabadilika.

Najiuliza je kwa hali hii Tuishia wapi hajafika miaka 30.
 
Sioni sehemu yoyote uliyoandika kuongelea suala la kukaa naye na kujaribu kuwasilisha kinachokusumbua, labda ali-respond vipi?
 
MKiwa kwenye tendo anafurahia? na anafika kileleni? nakuuliza ivo si kwa kejeri nataka nishee nawewe taarifa fulani!
 
Mtafutie tiba hiyo hali itakuwa inampa mawazo au mweke karibu zaidi kwa story na mtoke out mara nyingi asihisi kama hali aliyonayo kwa upande wake kwako imeshakuwa mzigo ili awe huru . Yote ya Yote siku ngumu hazikawi kuisha mvumilie
 
Jaribu kumtoa out sehemu za starehe starehe aone one mazingira mengine atafunguka tuu
Kingine jarubu kumsikiliza anapendelea nini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…