Usiniambie ndugu yangu😃Nina experience ya hiyo kitu. She is seeing other guy. Ndio maana mwingine Haku-address kama mpenzi. Achana naye. Hiyo tabiaa haji kuacha.
Endelea ku move on huyu atakuja akupige tukio kubwa hutasahau, hamna mwanamke hapo.Hope mko salama,
Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.
Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.
Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.
Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.
Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.
Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.
Kuna upendo hapa wadau?
Kwanini mkuuYaan bora akuite majina mengine sio kukuita boss
Uandishi huu lazima akusumbue boom umepata lakini?Teari mkuu shafanya maamuzi
Amepata kikoba kipya mfuko umetuna usipoteze muda bonde ni pana inua macho yako, yeye akichagua kwenda kusini wewe nenda far North utanishukuruHope mko salama,
Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.
Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.
Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.
Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.
Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.
Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.
Kuna upendo hapa wadau?
Ha ha haHela unampa lakini?
Mi kuna mmoja alianza kuniita boss mi nikawa namuita kiongozi
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Simple. Block her number.Endelea na maamuzi yako ya kumove on, asikuchanganye.
Ndio hivyo Mkuu. Ninahisi kadada pia ni kafupi hivi. Ndio huwa vina tabia ya hivyo.Usiniambie ndugu yangu😃
Good. Hapo mkuu umeukwepa mtego.Teari mkuu shafanya maamuzi