Simu za Nokia zinanivutia sana


kuna maeneo network hamna kabisa,usiilazimishe simu kukuonesha uongo.

hata mitandao ya simu hawawezi kuweka miundombinu kamili porini.
 
Sijaona moja.... Kuna ile yenye macho matatu kama IPhone 13 Pro max.
 
kuna maeneo network hamna kabisa,usiilazimishe simu kukuonesha uongo.

hata mitandao ya simu hawawezi kuweka miundombinu kamili porini.
Uko sawa lakini sina shaka na hilo ndo maana unakuta simu nyingine imepangiliwa kama hivi 2G ONLE
3G ONLE
2G/3G(auto)
Lakini nokia wameweka 2G na 3G hamna cha onle maana yake hata ukiselekt kwenye 3G itapandisha 2G kwa maa wametenganisha kuzuga maanake inakupeleka inavyotaka huwezi ipeleka unavyotaka ww hii nikkampuni kubwa hivi vitu ni muhimu mno
 
Zipo vizuri.
 
Nilikuwa na nokia 208 ya Button picha zake ni quality kuliko smart nyingi za leo
 
Natumia G10 hii simu kwenye chaji ipo vizur kwenye Kila kitu ila shida Haina file manager Haina calculator mpaka ufanye update camera ni nzuri kiukweli ni nzuri sana hii sim
 
Natumia G10 hii simu kwenye chaji ipo vizur kwenye Kila kitu ila shida Haina file manager Haina calculator mpaka ufanye update camera ni nzuri kiukweli ni nzuri sana hii sim
Download file manager + playstore, ni bure haina matangazo, nyepesi na nzuri kushinda file manager zinazokuja na simu.
 
Ni simu nzuri Mimi natumia simu zote Nokia 7.1 na 6.2
 
Download file manager + playstore, ni bure haina matangazo, nyepesi na nzuri kushinda file manager zinazokuja na simu.
Nimejaribu kuchek naona zipo nyingi mkuu unaeza nisaidia muonekano wake
 
Toka 2013 natumia smart za Nokia Hadi Sasa kabla nilikuwa natumia vitochi vyao
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…