Simu za Nokia zinanivutia sana

Unayo kwa muda gani?.
 
Wapi panafaa kufungua office ya ufundi simu na computer jijini mwanza kwa anayeanza tofauti na mjini
 
Wapi panafaa kufungua office ya ufundi simu na computer jijini mwanza kwa anayeanza tofauti na mjini
Popote tu mkuu, cha msingi tafuta eneo lililochangamka, ambapo kuna shughuli nyingi, utapata wateja wengi, na itakuwa rahisi kujenga jina.
 
Nokia ukijagua vzr zipo vzr. Kwa wale normal users tafuta zenye betri kuanzia 4500-5000MHA.

Android nyingi zinafanana. Enjoy what u believe.

Nimetua twl types ya smart Nokia brands.
 
Ni simu nzuri sana nunua hutojutia.
 
Nokia alishakufa huyu wa sasa ni fake
 
Kwa mm shughuli zangu nipo polini inanipa tabu maana unaiweka 3g inapandisha 2g yenyewe nikahisi simu yaangu ni ndogo nikachukua kubwa lakni kwenye kuchagua bend inakuchagulia yenyewe labda nikiingia mjini ambapo netwk inatulia sehemu moja na haya ili uyaone mpaka uje polini
 
Kamera ni nzuri ila imebyimwa frash ila nokia yya zamani ukupiiga picha usiku mfumo wa frash ulikua wa hatari yaani aukuumiza macho kwa aliepigwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…