Madagiz
Senior Member
- Feb 1, 2013
- 185
- 56
Habari wana jamvi,nina simu yangu Samsung GT-N7100 ilikuwa inapiga kazi vizuri,ila toka jana inasumbua kwenye network,ukiiwasha minara inapanda vizuri na ukiweka data on,inapga kazi kwenye internet,kama whatsap unaweza kuchati na kufanya mambo yote ya kimtandao bila tatizo. Ila shida haipokei simu wala msg za kawaida,na ukitaka kupiga simu au kutuma txt bado hazitoki.Mfano ukitaka labda kupiga au kucheki salio inaandika not registered on network.
Naombeni msaada tatizo ni nn wana It.
cc:chief-mkwawa
Naombeni msaada tatizo ni nn wana It.
cc:chief-mkwawa