Simu ya google ideos

Kama laini yako ni hizi mpya basi mipangilio itaingia kiotomatiki.
 
menu>settings>wireless n mobile settings>mobile networks>nenda access names andika neno internet kisha add,ukimaliza hapo click enable data,then restart cmu yako
 
ukisha ingia Access Point name(APN),Name andika internet,APN TYPE andika internet na authetication select none,then add iyo access point,
 
Kama una mtu Nairobi mwagizie hata madereva wa mabasi zinauzwa kwenye maduka ya Safaricom hapo zamani ilikuwa Ksh 8999 sawa na Tsh 161,980 sasa zimeshuka ni Ksh 3999 kama Tsh 72,000 hivi na unatumia mtandao wowote ,hivi visimu ni vizuri sana ni kama una BB lakini tatizo ni kwenye betri na camera
 
Kama una mtu Nairobi mwagizie hata madereva wa mabasi zinauzwa kwenye maduka ya Safaricom hapo zamani ilikuwa Ksh 8999 sawa na Tsh 161,980 sasa zimeshuka ni Ksh 3999 kama Tsh 72,000 hivi na unatumia mtandao wowote ,hivi visimu ni vizuri sana ni kama una BB lakini tatizo ni kwenye betri na camera

Mkuu unasema kweli?
 
Mkuu unasema kweli?
Ni kweli Uncle kama una jamaa hapo Nrb mwambie akutazamie kwenye maduka ya Safaricom ingawa ni muda kidogo umepita ndio walipunguza bei hadi kufika hicho kiasi,unataka uchangamukie fursa au vipi
 
Naomba msaada wa kuunganisha simu hi na internet ya airtel(zain)

Ili kuunganisha internet kwa mtandao wa airtel, fungua uwanja wa kuandikia msg kisha andika neno ALL na utume kwenda namba 232 na baada ya muda utapokea settings za internet na MMS
 
Ni kweli Uncle. kama una jamaa hapo Nrb mwambie akutazamie kwenye maduka ya Safaricom ingawa ni muda kidogo umepita ndio walipunguza bei hadi kufika hicho kiasi,unataka uchangamukie fursa au vipi

Ha ha ha! Mkuu unajua sisi wengine tumetokea familia za wakulima uko mabonde kuinama me pekee ndiye niliyebahatika kufika Dar, sasa unaponiambia kaa na jamaa huko Nai naona kama unatania vile,


Itakuwa poa sana kama unaweza kuniagizia mkuu nitashukuru sana kama uko tayari tuwasiliane nikutumie mshiko na cha juu kabisa, au unasema je mkuu?


Maana nimechoka kutumia haya mablackberry hovyo sana.
 
Back
Top Bottom