naomba kuuliza hv sms kujirudia kila uwashapo simu inaiingia sms hiyo hiyo yaan kila ukizima simu ukiiwasha sms zinajirudia zilezile.....je hapo tatzo nn?msaada plz
naomba kuuliza hv sms kujirudia kila uwashapo simu inaiingia sms hiyo hiyo yaan kila ukizima simu ukiiwasha sms zinajirudia zilezile.....je hapo tatzo nn?msaada plz
Swali la msingi niliuliza ni vipi nitaweza kufuta sms au thread, yaani sms zote toka kwa namba moja, kwenye simu yangu aina ya Techno Y3+,ambayo kwa sasa kila nikifuta naziona tena baada ya muda mchache. Je unajua nifanyeje zisijitokeze tena kwani zinajaza simu? Asante.