Wee mpaka umekuwa member jf utakuwa unajua tu! Compare bei na apps zilizomo quality ya picha, internet, jina la simu au google hiyo model utagundua tu na sometimez honest seller wanakwambia tu
Kwa uhakika zaidi tafuta simu nyingine yenye internet uende nayo kabla ya kufanya manunuzi bonyeza *#06# utapata imei yako fungua kwenye hiyo simu nyingine http://imei.info ikifunguka utaona sehemu ya kuandika hiyo imei na kusubmit, itakuonesha ni simu aina gani! Kama ni ya kichina huwa inaleta error au itakuonesha simu model nyingine.