Major Nyenzi
Member
- Mar 11, 2011
- 19
- 8
kaka hamna aliokataa bb ya zamani ni nzuri kibiashara. na hata hapo juu nimekukatalia kuwa bb 10 si nzuri kibiashara ila nikakwambia bb ya zamani ni nzuri.
kwenye link uliyotoa wamesema wamerudi kwenye bb 9930 ambayo ni bb za zamani sasa huoni kama ni fedheha kwa bb10? sababu bb10 inaingilika kirahisi ndio maana pentagon wakaamua kutonunua z10 na q10 badala yake wakanunua bb ya zamani.
BES10 will takeover soon, they are just going back to what they know works.