usishangae kuona teknolojia ina kufikia kwa njia yoyote,kwa kuwa itataka kushindana na ubora hata kisoko kuvutia wateja.
kampuni Zanco imetengeneza simu aina Tiny t1 ambayo uzito wake sawa na 150 grams.
Haturudi tena nyuma... Zamani ndio ingekuwa fashion, saivi mtu anaongea kwa kutumia tablet ya 10 inch anaweka masikioni unataka kumpa icho kidonge cha panadol? wakae nayo wenyewe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.