Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,221
- 2,425
Kupitia ripoti Mbalimbali simu mpya ya Nothing phone 3 inatarajiwa kuachiwa na kuanza kusambazwa ikiwa na feature kadhaa;
โก Kioo 6.7inch LTPO OLED ikiwa na resolution ya 1.5K
โ๏ธ refresh rate ya 120Hz iko very fast kwenye touch and smoothly
๐ธ Kamera nyuma ziko triple ikiwa na 50Mp periscope telephoto sensor + 3x optical zoom unamvuta mpaka siafu (anti ๐).
๐ท Main kamera inakuja na 50Mp + 50mp ultra wide angle lens
๐ก๏ธ Processor yake ni Snapdragon 8s Gen 4 chipset.
๐ Battery ni 5,150mah + 100W fast charging
๐ Storages ni 256GB + Ram 12GB
๐ Android version 15
Chakuvutia zaidi:
โ Betri lake liko poa imara bila shaka
โ Muundo wake , iconic na mfumo wa notification ni wa kipekee halafu mzuri balaa.
โ Software yake unapata update kwa miaka 5 bila shida pamoja na security update ya Miaka 7 kwaiyo mpaka 2032.
โ Kamera na picha zake zinatoa Bomba kama wewe mpenzi wa kamera unaweza nunua.
๐ฐ Gharama yake ni $799 Sawa na Tzsh 2.85milioni.
Inatarajia kuachiwa kuanzia July 4 na kusambazwa ulimwenguni kote weka oda yako Sasaโ๏ธ.