Simu LG 500 nanunua.

Simu LG 500 nanunua.

Kisiya Jr.

Senior Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
102
Reaction score
30
Jamani kwa yeyote mwenye cm tajwa hapo juu ani pm nimfate.

naihitaji sana.
 
Hiyo yote tujue upo nje ya nchi,ok tumejua.
Endelea kukuna nazi,bwanako akirudi umpe 0713...aendelee kifaidi.

hahahahahaha huyu chai chungu anadeserve matusi........big up kwa kumpa minukta.....safi sana ka vipi ntakusaidia kutafuta hiyo simu
 
Ni lg gani? Mi nina lg touch screen double line mpya kabisa. Kama ndio hiyo tuwasiliane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom