Huenda kuna virus.
Simu yako inatoa pop-up messages zinazosumbua?
Kuna hiki kirusi korofi angalia kwenye google: com.nb.superuser
Kugundua ni kirusi gani, nili-install anti-virus na ku-scan simu. Kama sikosei nilitumia Anti-virus Dr. Web Light.
Kukiondoa hiki kirusi sio rahisi.
Mara ya kwanza anti virus ilifanikiwa kuondoa kirusi kilichokutwa, ila huenda haikuondoa kila kitu. Baadae mabaki ya kirusi yakarudisha virusi vilivyoondolewa na usumbufu ukaanza upya. Safari hii Anti virus haikuweza kuondoa.
Nili-disable hiyo com.nb.superuser na sikuhaingaika kufanya kingine zaidi.
Baada ya kui-disable, pop-up hazitokei na Wifi haijiwashi yenyewe tena.