Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,077
- 1,439
Startimes si king'amuzi, hizo simu kama zipo ni kabila moja na Tecno
Simu ni iPhone, Lg, samsung, htc na sony. Zingine hizo mmh unanunua at ur own risk
Pumbavu.
Startimes si king'amuzi, hizo simu kama zipo ni kabila moja na Tecno
Simu ni iPhone, Lg, samsung, htc na sony. Zingine hizo mmh unanunua at ur own risk
Siku mbili...kah!!!Hilo tatizo ni common kwa simu za Tecno. Nina dogo hapa kabadilisha charger kibao lakini hiyo simu kuna wakati ana charge ikiwa imezimwa na hujaa kwa muda wa siku mbili hadi tatu. Tecno inaonekana ndio shida zaidi. Ununuapo Tecno tegemea kukutana na majanga kama hayo.
Kama charger sio yake tafuta ya kwake.Wadau... Hivi inakuaje simu kuisha chaji wakati inachajiwa? Yaani simu mfano ilikuwa 20% baada ya kujaa inapungua... Tatizo hili nimeliona kwa simu ya bi mkubwa.. Anatumia Tecno M6..
kwa tecno hilo tatizo lipo sana , hata mimi kuna mdau wangu anatumia Tecno N7 anakumbana sana na hiyo ishu.Wadau... Hivi inakuaje simu kuisha chaji wakati inachajiwa? Yaani simu mfano ilikuwa 20% baada ya kujaa inapungua... Tatizo hili nimeliona kwa simu ya bi mkubwa.. Anatumia Tecno M6..
Unatumia chaja yake?, na unatumia Wifi hotspot au wifi wakati una chaji?Wadau... Hivi inakuaje simu kuisha chaji wakati inachajiwa? Yaani simu mfano ilikuwa 20% baada ya kujaa inapungua... Tatizo hili nimeliona kwa simu ya bi mkubwa.. Anatumia Tecno M6..
Mkuu ninatumia Solar 5 kutoka Startimes mwaka sasa na haina shida kuacha ile ya phone memory kuwa 1GB. Mambo mengine yote poa.Startimes si king'amuzi, hizo simu kama zipo ni kabila moja na Tecno
Simu ni iPhone, Lg, samsung, htc na sony. Zingine hizo mmh unanunua at ur own risk
Umeonesha uwezo wako wa kukariri maisha..huna tofauti na msukuma anayeenda dukani na kumwambia muuzaji nahitaji suruali ya mifuko mingi ya laki moja bila kujua inaweza ikawa hata elfu 20,000/=Startimes si king'amuzi, hizo simu kama zipo ni kabila moja na Tecno
Simu ni iPhone, Lg, samsung, htc na sony. Zingine hizo mmh unanunua at ur own risk
Tatizo huwa ni charger unayotumia inakuwa imekufa.Hilo tatizo lipo; nina sumsung note 3 imepata shida hiyo: sijajua sorce ni nini nataka nirudi kwa hawa sumsung walioniuzia aisee