Wakuu mwaka huu Samsung wametoa simu nyingi sana mpaka wanatuchanganya wateja.
Kwa maoni yangu najua simu kali za Juu zaidi kwa Samsung ni:
1)Note 8
2)s8+
3)s8
4)s7 edge
5)s7
Sasa baada ya hizo sijui ni ipi inafuata kwa ubora,zinanichanganya Kati ya A7,c7,j7 au A9.Mara pro yani sielewi
Yani kwa ufupi mimi bajeti yangu ni 700,000/=mpaka 800,000/=.
Naombeni ushauri ninunue aina gani ya Samsung.