Simu Kali za Samsung 2017

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
878
Wakuu mwaka huu Samsung wametoa simu nyingi sana mpaka wanatuchanganya wateja.

Kwa maoni yangu najua simu kali za Juu zaidi kwa Samsung ni:

1)Note 8

2)s8+

3)s8

4)s7 edge

5)s7

Sasa baada ya hizo sijui ni ipi inafuata kwa ubora,zinanichanganya Kati ya A7,c7,j7 au A9.Mara pro yani sielewi

Yani kwa ufupi mimi bajeti yangu ni 700,000/=mpaka 800,000/=.
Naombeni ushauri ninunue aina gani ya Samsung.
 
Binafsi naona Note series ziko poa.
Hapo ningekushauri uchukue Note 8 ingawa kwenye bajeti hapo sijui.
 
-Note na S series zipo juu zaidi andaa 1.5m kuendelea

-A na C hizi ni za kati

-J wadogo

hapo ni.kwa device za 2017, huyo s7 mtoe ni wa 2016.

sijajua unataka nini kwenye simu ila kama ni mtumiaji wa kawaida Tafuta galaxy A7 2017 overall ni simu nzuri sana hasa kwenye Ukaaji wa Chaji.

ila kama ni power User na unajali zaidi perfomance au muonekano kwa budget hio unaweza pata S7 ni simu nzuri all around, hasa s7 edge.
 
Ata note 3 yenye 4g lyte bado ni simu nzuri tu kwa note8 kua mpole mpaka mwakan bei itashuka tuu
 
Note 5 sio mbaya ninayo for 2 years now and it still very powerful
 
Tafuteni ela kitu cha milion 2 mpaka 3 mnaona mnapoteza ela kweli, umaskini mmbaya sana , je ndege ya 160k mpaka 1M utapanda kweli, tumia pesa ikuzoee
 
Mawazo ya kimasikini haya mkuu, mshauri mwenzio kama huwezi kaa kimya napo ni busara
Sio hivyo mkuu. Kila mtu ana kipaumbele chake na ndoto zake za maisha. Mwingine anawaza kupata mtaji wa banda na chips kwa laki 5 ilhali mwigine anahonga demu milioni 2 na gari juu, ama ananunua simu ya milioni 3. Accept our diversities!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…