Simu Inauzwa

Tang ubav

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
2,737
Reaction score
3,925
Habari ndugu zangu nauza simu Aina ya Infinix smart 7 HD ipo katika Hali nzuri Haina kipengele imetumika miaka 2 tu bei ni sh 190000 TSH karibuni maelewano yapo
Nimepatwa na shida ikiwa haraka itapendeza zaidi tukifanya biashara, simu ni yangu mwenyewe ata kwa Mwenyekiti tunaweza kwenda kuandikishana
 
nimetoka kibaruani Sina shillings yoyote kazi ngumu mpaka kesho malipo, Nyumbani yupo mama ananitegemea kijana nalia machozi 😭nifanyeje Sina fedha nikanunue mahitaji mbarikiwe sana naomba msaada...0622730684🙏😭
 
nimetoka kibaruani Sina shillings yoyote kazi ngumu mpaka kesho malipo, Nyumbani yupo mama ananitegemea kijana nalia machozi 😭nifanyeje Sina fedha nikanunue mahitaji mbarikiwe sana naomba msaada...0622730684🙏
 
190k hupat mteja
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…