Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,758
- 6,087
punguza aisee, nipo mwanza leo na kesho
sababu ya kuuza ni nini?
na je betri yake inakaa mda gani?
Kwa maelewano zaidi nicheki kwa hiyo namba yangu whatsapp.
Sababu ya kuuza ni dharula ya shida ya ghafla. Simu ipo poa na betri linakaa kwa siku 2 ukitumia whatsapp/JamiiForums/Facebook/Twitter etc.
Mkuu ukiwa busy na hayo makitu bado inakaa siku mbili?
Hiyo kiboko.
Khaa!! wenyewe waliotengeneza wanasema betri yake yenye 1200mAH inakaa kwa masaa sita tena kwenye 3G :shocked:Kwa maelewano zaidi nicheki kwa hiyo namba yangu whatsapp.
Sababu ya kuuza ni dharula ya shida ya ghafla. Simu ipo poa na betri linakaa kwa siku 2 ukitumia whatsapp/JamiiForums/Facebook/Twitter etc.
Khaa!! wenyewe waliotengeneza wanasema betri yake yenye 1200mAH inakaa kwa masaa sita tena kwenye 3G :shocked: