Nisaidieni simu yangu inakuwa kama inaji-touch na hivyo muda mwingi inakuwa ina-vibrate kama imeguswa kioo chake. Inaji-touch upande wa kioo kwenye kona ya kushoto chini.
Wakati mwingine inatulia na kuwa kama kawaida. Ikiishaanza kuji-touch inabidi niitoe kwenye display. kisha nikiwasha display inatulia kwa muda kisha inaanza tena.
a) Tatizo ni nini?
b) Suluhisho lake ni nini?